Wednesday 7 January 2015

TANZU TATU ZA FASIHI


Hakika hamna tanzu ya fasihi iliyo bora kuliko nyingine. Kama vile jazanda ya mti ilivyoonyesha. Tanzu zote tatu zinatoshana barabara kwa hadhi ya kuakilisha fasihi. Iwe

(i) Andishi (matawi): inayokumbatia riwaya, tamthilia na diwani;

(ii) Simulizi (majani): inayokumbatia tamba, kukariri, kuimba na mijadala; au

(iii) Onyeshi (maua): inayokumbatia uigizaji, tamasha kama vile denzi na mieleka na sinema.

Tunapotaka kutathmini ubora wa fasihi vipo vigezo vinavyotumika ambavyo hutangulia na kutofautisha fasihi katika sehemu mbili maarufu: (a) fasihi dhati na (b) fasihi pendwa

No comments:

Post a Comment